huyu ndiye msicha ambaye tulitoka naye mbali ktk maisha. Na matumaini ktk mwanadamu ni kufanikiwa nashukuru mungu nimekuja Mwanza ,chakushangaza siku ambayo sikutegemea. MUNGU ALINIKUTANISHA NAE MWANZ
|
duu hi kali hawa watoto ndio wanafundishana nini hapa?
|
mambo ya vijana yanashangaza sana kwani kila mpenz unamuahid kwamba hamutaachana mpaka siku ya kufa kwenu au mtakapotengangishwa na maut.
|